Ezekieli 48:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Ukuta wa upande wa magharibi utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo nao utakuwa na malango matatu: Lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Ezekieli 48

Ezekieli 48:28-35