Ezekieli 47:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Upande wa kusini, toka Tamari mpaka utaendelea hadi chemchemi ya Meriba-kadeshi. Kutoka Meriba-kadeshi mpaka utaelekea kusini-magharibi hadi Bahari ya Mediteranea ukipitia mashariki ya nchi ya Misri.

Ezekieli 47

Ezekieli 47:16-23