Ezekieli 47:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Hii ndiyo mipaka ya nchi mtakayoyagawia makabila kumi na mawili ya Israeli. Lakini kabila la Yosefu lipewe maradufu.

Ezekieli 47

Ezekieli 47:11-16