Ezekieli 45:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, na kwa muda wa siku saba za sikukuu, mtawala atatoa mahitaji kwa ajili ya sadaka za kuondoa dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta.

Ezekieli 45

Ezekieli 45:22-25