Ezekieli 44:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatanikaribia tena kunihudumia kama makuhani, wala hawatavigusa tena vitu vitakatifu wala vile vitakatifu kabisa. Bali wataaibika kwa sababu ya machukizo yao waliyotenda.

Ezekieli 44

Ezekieli 44:3-20