Ezekieli 43:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Utatwaa damu yake na kuitia juu ya pembe nne za madhabahu na juu ya ncha nne za daraja na juu ya pambizo yake pande zote. Hivyo ndivyo utakavyoitakasa madhabahu na kuiweka wakfu.

Ezekieli 43

Ezekieli 43:15-27