Ezekieli 41:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwishoni kabisa mwa uwanja, upande wa magharibi kulikuwa na jengo lenye urefu wa mita 45 na upana wa mita 35. Kuta zake zilikuwa na unene wa mita 2.5.

Ezekieli 41

Ezekieli 41:7-13