Ezekieli 40:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Kile chumba cha kuingilia kilikuwa mkabala na uwanja wa nje. Mitende ilichorwa kwenye kuta kwenye nafasi ya kupitia. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia kuelekea kwenye lango hili.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:25-44