Ezekieli 40:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Ule ukumbi ulikuwa mkabala na ua wa nje. Na kulikuwa na michoro ya mitende kwenye nguzo kandokando ya hiyo njia ya kuingilia kwenye ngazi. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia lango hili.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:26-37