Ezekieli 40:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikiwa katika njozi Mwenyezi-Mungu alinichukua mpaka nchini Israeli, akaniweka juu ya mlima mrefu sana, na upande wa kusini kulikuwa na majengo yaliyoonekana kama mji.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:1-5