Ezekieli 4:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo nikamwambia, “Ee, Bwana Mwenyezi-Mungu, kamwe sijajitia najisi kwa kula kilichokufa chenyewe au kilichouawa na mnyama wa porini, wala sijapata kuonja nyama ya mnyama najisi tangu ujana wangu.”

Ezekieli 4

Ezekieli 4:7-16