Ezekieli 38:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Samaki baharini na ndege warukao, wanyama wa porini, viumbe vyote vitambaavyo pamoja na watu wote duniani, watatetemeka kwa kuniona. Milima itaporomoshwa, magenge yataanguka na kuta zote zitaanguka chini.

Ezekieli 38

Ezekieli 38:15-23