Ezekieli 38:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Utapora na kuteka mali za watu wanaokaa katika miji ambayo ilikuwa jangwa. Watu hao wamekusanywa kutoka mataifa na sasa wana mifugo na mali; nao wanakaa kwenye kitovu cha dunia.

Ezekieli 38

Ezekieli 38:9-16