Ezekieli 36:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata walipokuwa miongoni mwa mataifa walilikufuru jina langu takatifu, hata watu wakasema hivi juu yao: ‘Tazama! Hawa ndio wale watu wa Mwenyezi-Mungu, lakini wamelazimika kuondoka katika nchi yake!’

Ezekieli 36

Ezekieli 36:15-29