Ezekieli 35:15 Biblia Habari Njema (BHN)

kama wewe ulivyofanya wakati nchi ya Waisraeli ilipoharibiwa. Utakuwa jangwa, ewe mlima Seiri, pamoja na nchi yote ya Edomu. Ndipo watu watakapotambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.”

Ezekieli 35

Ezekieli 35:13-15