Ezekieli 33:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, waambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nyinyi mnakula nyama yenye damu, mnaziabudu sanamu za miungu yenu na kuua! Je, mnadhani mtapewa nchi hii iwe yenu?

Ezekieli 33

Ezekieli 33:19-31