Ezekieli 33:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya tano ya mwezi wa kumi, mwaka wa kumi na mbili wa uhamisho wetu, mtu mmoja aliyetoroka kutoka Yerusalemu alinijia, akasema: “Mji wa Yerusalemu umetekwa!”

Ezekieli 33

Ezekieli 33:14-26