Ezekieli 33:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi namwahidi mwadilifu kwamba ataishi; lakini yeye akiamini kwamba uadilifu wake watosha, akaanza kutenda uovu, matendo yake yote mema ya hapo awali hayatakumbukwa; atakufa kwa uovu wake.

Ezekieli 33

Ezekieli 33:11-15