Ezekieli 33:10 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ewe mtu! Waambie Waisraeli jambo hili: Nyinyi mwasema, ‘Tumezidiwa na makosa na dhambi zetu. Tunadhoofika kwa sababu yake! Tutawezaje basi, kuishi?’

Ezekieli 33

Ezekieli 33:9-18