Ezekieli 32:26 Biblia Habari Njema (BHN)

“Watu wa Mesheki na wa Tabali wote wako huko, wamezungukwa na makaburi ya wanajeshi wao. Watu hao wote wasiomjua Mungu walikufa vitani, watu ambao walipokuwa hai walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.

Ezekieli 32

Ezekieli 32:21-32