Ezekieli 32:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu wenye nguvu pamoja na wasaidizi wao wakiwa huko shimoni kwa wafu watasema hivi: ‘Wamisri wameshuka chini kwa wafu, wanalala pamoja na watu wasiomjua Mungu, waliouawa vitani.’

Ezekieli 32

Ezekieli 32:11-27