Ezekieli 32:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitayashtusha mataifa mengi kwa habari zako,wafalme wao watatetemeka kwa sababu yako,nitakaponyosha upanga wangu mbele yao.Watatetemeka kila wakati,kila mtu akihofia uhai wake,siku ile ya kuangamia kwako.

Ezekieli 32

Ezekieli 32:1-11