Ezekieli 31:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Miongoni mwa mierezi ya bustanini mwa Mungu,hakuna mti uliolingana nao,wala misonobari haikulingana na matawi yake,mibambakofi haikuwa na matawi kama yake,hata mti wowote wa bustani ya Munguhaukulingana nao kwa uzuri.

Ezekieli 31

Ezekieli 31:4-12