Ezekieli 30:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitaukausha mto Nili na vijito vyake,na kuwauzia watu waovu nchi ya Misri.Nitasababisha uharibifu nchini kotekwa mkono wa watu wageni.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Ezekieli 30

Ezekieli 30:3-15