Ezekieli 29:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo, nitawafanya Waisraeli wawe na nguvu na kukuwezesha wewe Ezekieli uongee miongoni mwao. Nao watapata kujua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.”

Ezekieli 29

Ezekieli 29:19-21