Ezekieli 22:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama watu wanavyokusanya fedha, shaba, chuma, risasi na bati katika tanuri ili kuzisafisha kwa kuchoma moto, ndivyo ghadhabu na hasira yangu itakavyowakusanya huko na kuwayeyusha.

Ezekieli 22

Ezekieli 22:11-21