Ezekieli 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini nilijizuia kufanya hivyo kwa heshima ya jina langu ili lisidharauliwe kati ya watu wa mataifa wanaoishi nao, hao walioona nikijijulisha kwa Waisraeli wakati wa kuwatoa katika nchi ya Misri.

Ezekieli 20

Ezekieli 20:4-11