Ezekieli 18:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini nyinyi mwasema, ‘Hicho afanyacho Mwenyezi-Mungu si sawa!’ Sikilizeni sasa, enyi Waisraeli: Je, ninachofanya mimi si sawa? Mnachofanya nyinyi ndicho kisicho sawa.

Ezekieli 18

Ezekieli 18:21-32