Ezekieli 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu mwovu akiachana na dhambi zake zote alizotenda, kama akishika kanuni zangu zote, akatenda yaliyo ya haki na sawa, huyo hakika ataishi, hatakufa.

Ezekieli 18

Ezekieli 18:11-31