Ezekieli 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

huepa kutenda uovu, hakopeshi kwa riba, wala kujitafutia ziada, huzifuata amri na maagizo yangu; huyo hatakufa kwa sababu ya uovu wa baba yake. Huyo ataishi.

Ezekieli 18

Ezekieli 18:13-23