Ezekieli 18:13 Biblia Habari Njema (BHN)

anakopesha kwa riba na kujitafutia ziada, je, mtoto huyo ataishi? La, hataweza kuishi. Kwa kuwa amefanya machukizo yote hayo, hakika atakufa, na yeye mwenyewe atawajibika kwa kifo chake.

Ezekieli 18

Ezekieli 18:8-20