Ezekieli 17:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema, kama niishivyo, kwa vile amekidharau kiapo alichoapa kwa jina langu na agano langu akalivunja, hakika nitamwadhibu vikali.

Ezekieli 17

Ezekieli 17:10-21