Ezekieli 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

“Wewe mtu! Taifa fulani likitenda dhambi kwa kukosa uaminifu kwangu, mimi nitanyosha mkono wangu kuliadhibu. Nitaiondoa akiba yake ya chakula na kuliletea njaa. Nitawaua watu na wanyama wake.

Ezekieli 14

Ezekieli 14:7-19