Ezekieli 13:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kwa kuwa maneno yenu ni udanganyifu na maono yenu ni ya uongo mtupu, basi, mimi nitapambana nanyi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Ezekieli 13

Ezekieli 13:7-18