Ezekieli 11:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipokuwa natabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafariki. Nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa, nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi-Mungu, je, utawamaliza kabisa Waisraeli waliobaki?”

Ezekieli 11

Ezekieli 11:6-19