Ezekieli 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ncha za mabawa yao ziligusana kila bawa na bawa lingine. Waliposogea, upande wowote ule, walikwenda mbele moja kwa moja bila kugeuza miili yao.

Ezekieli 1

Ezekieli 1:7-15