Amosi 8:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Watu watatangatanga kutoka bahari hata bahari,kutoka upande wa kaskazini mpaka mashariki.Watakimbia huko na huko wakitafuta neno la Mwenyezi-Mungu,lakini hawatalipata.

13. “Siku hiyo, hata vijana wenye afya,wa kiume kwa wa kike,watazimia kwa kiu.

14. Wale wanaoapa kwa mungu wa uongo wa Samaria,na kusema: ‘Kwa nafsi ya mungu wako ee Dani’;na, ‘Kwa nafsi ya mungu wa Beer-sheba’,wote wataanguka na hawatainuka tena kamwe.”

Amosi 8