2 Wakorintho 12:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli tupu. Lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu.

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:1-13