2 Wafalme 10:33-36 Biblia Habari Njema (BHN)

33. kutoka upande wa mashariki ya mto Yordani, na nchi za Gileadi, Gadi, Reubeni na Manase na kutoka Aroeri ulioko kwenye bonde la Arnoni, kwenye nchi za Gileadi na Bashani.

34. Matendo mengine yote ya Yehu na vitendo vyake vya ushujaa yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.

35. Akafariki na kuzikwa Samaria. Mwanae Yehoahazi akatawala mahali pake.

36. Yehu alitawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na minane.

2 Wafalme 10