2 Samueli 3:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Ijapokuwa mmenipaka mafuta ili niwe mfalme, lakini leo mimi ni mnyonge. Hawa wana wa Seruya ni wakatili kupita kiasi. Mwenyezi-Mungu na awaadhibu waovu hawa sawasawa na uovu wao.”

2 Samueli 3

2 Samueli 3:30-39