2 Samueli 23:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akasema kwa hamu kubwa, “Laiti mtu angeweza kunipa maji ya kunywa kutoka katika kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango la mji!”

2 Samueli 23

2 Samueli 23:9-20