2 Samueli 21:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulitokea tena mapigano na Wafilisti huko Gobu. Naye Elhanani mwana wa Yaareo-regimu, Mbethlehemu, alimuua Goliathi Mgiti, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumanguo.

2 Samueli 21

2 Samueli 21:15-22