2 Samueli 20:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mwanamke akamwambia, “Hapo kale watu walikuwa wakisema, ‘Waacheni watake shauri kutoka mji wa Abeli’. Ndivyo watu walivyoweza kutatua matatizo.

2 Samueli 20

2 Samueli 20:12-26