2 Samueli 20:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu wakaenda kumzingira Sheba akiwa katika mji huo wa Abeli wa Beth-maaka. Walirundika kuuzingira mji, na ngome; halafu wakaanza kuubomoa ukuta ili kuuangusha chini.

2 Samueli 20

2 Samueli 20:11-16