2 Samueli 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo vijana ishirini na wanne wakatolewa: Upande wa kabila la Benyamini na Ishboshethi mwana wa Shauli, vijana kumi na wawili; na upande wa Daudi vijana kumi na wawili.

2 Samueli 2

2 Samueli 2:10-20