2 Samueli 19:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Abishai mwana wa Seruya akasema, “Je, si lazima Shimei auawe maana alimlaani mtu ambaye Mwenyezi-Mungu amemteua kwa kumpaka mafuta?”

2 Samueli 19

2 Samueli 19:18-30