2 Samueli 14:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Absalomu akawaambia watumishi wake, “Angalieni Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Nendeni mkalichome moto.” Kwa hiyo watumishi wa Absalomu wakalichoma moto shamba la Yoabu.

2 Samueli 14

2 Samueli 14:26-32