2 Samueli 14:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika Israeli yote, hakuna yeyote aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu. Tangu nyayo zake hadi utosini mwake, Absalomu hakuwa na kasoro yoyote.

2 Samueli 14

2 Samueli 14:18-33