2 Petro 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu,

2 Petro 2

2 Petro 2:10-22