2 Mambo Ya Nyakati 7:2-4 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Kwa kuwa utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulijaa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, makuhani hawakuweza kuingia humo.

3. Waisraeli wote walipoona moto ukishuka kutoka mbinguni na utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulijaa katika nyumba walisujudu nyuso zao zikifika mpaka sakafuni, wakamwabudu na kumshukuru Mwenyezi-Mungu wakisema,“Kwa kuwa ni mwema,fadhili zake zadumu milele.”

4. Kisha mfalme Solomoni na watu wote walimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko.

2 Mambo Ya Nyakati 7